Header Ads

Rais wa Algeria amfuta kazi Waziri Mkuu



https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/B08F/production/_97399154_ecf18618-2cda-4c49-8b36-12b07439cc34.jpg

ALGIERS- RAIS Abdelaziz Bouteflika amemfuta kazi Waziri Mkuu, Abdelmadjid Tebboune, ambaye aliteuliwa na kudumu katika nafasi hiyo kwa muda usiozidi miezi mitatu.
Hakuna sababu zilizotajwa za kuondolewa kwake kazini, lakini hatua hiyo imekuja siku kadhaa, baada ya Rais kumtumia barua kali Tebboune kutaka mabadiliko ya sera.
Tayari Waziri Mkuu mpya ametajwa kuwa ni Ahmed Ouyahia, ambaye alikuwa Mnadhimu Mkuu wa Rais.
BBC

No comments

Powered by Blogger.