Tundu Lisu afikishwa mahakamani Dar es Salaam # Picha mbalimbali za mahakamani
Mwanasheria
wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani
Bungeni, Tundu Lisu, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu
mashtaka yake ambayo bado haijawekwa wazi.
Mwanasheria Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Kisutu.
Makada sita wa CHADEMA wakamatwa eneo la Kituo cha kati cha Polisi wakati wakifuatilia kukamatwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu
Mwanasheria Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Kisutu.
Makada sita wa CHADEMA wakamatwa eneo la Kituo cha kati cha Polisi wakati wakifuatilia kukamatwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu
PICHA: Mawakili Peter
Kibatala na Fatma Karume wakinena jambo mahakama ya Kisutu kabla ya kusikilizwa
kesi ya mteja wao, Mbunge Tundu Lissu.
No comments