Header Ads

Mwakyembe kuongoza mapokezi ya Simbu leo

https://www.jamiiforums.com/attachments/img_2364-jpg.559495/



DAR ES SALAAM- WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Michezo na Sanaa, Dk Harrison Mwakyembe, leo atawaongoza wadau mbalimbali wa michezo kumlaki Alphonce Simbu aliyeshinda medali ya shaba katika michuano ya dunia, Uingereza.
Simbu ambaye alitwaa medali hiyo katika mbio za London Marathon, anatarajiwa kuwasili mchana wa leo na wenzake katika kundi la kwanza la wanariadha wa Tanzania waliokuwa wakishiriki mashindano hayo.

No comments

Powered by Blogger.