Header Ads

Breaking News; Serge Aurier kusaini miaka 5 Man United



https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/08/nintchdbpict0003131411775.jpg?strip=all&w=960&quality=100

PARIS- BEKI wa pembeni wa PSG na Ivory Coast, Serge Aurier (24) ameripotiwa kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano na Manchester United ya Uingereza.
Hata hivyo, makubaliano hayo yanaelezwa kuwa bado kwani Manchester United na PSG hawajaafikiana kuhusu ada kamili ya mchezaji huyo ambaye amekuwa akiwindwa na mabingwa wa EPL, Chelsea.
Kwa sasa timu hizo ziko katika mazungumzo kuhusu ada ya uhamisho ambayo inadaiwa kuwa ni karibu na pauni milioni 30 (sh bilioni 87).
The Sun.


No comments

Powered by Blogger.