Header Ads

Asubuhi Yetu; Liverpool yamsaka mbadala wa Coutinho # Costa aigomea Chelsea # Tottenham wamfuata Serge Aurier



https://static.independent.co.uk/s3fs-public/thumbnails/image/2016/01/19/09/Renato-Sanches.jpg

LIVERPOOL- KLABU ya Liverpool imeingia katika mbio za kusajili wachezaji wawili, Renato Sanches (19) kutoka Bayern Munich, ilia je azibe pengo la Philippe Coutinho akiondoka klabuni hapo. Pia wanamtaka winga wa Monaco, Thomas Lemar (21). Le10Sport.

https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/07/nintchdbpict000340419864.jpg?strip=all&w=960&quality=100
Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa (28) hataripoti klabuni hap oleo, wakati wachezaji wenzake wote watakaporipoti kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya, kutokana na mchezaji huyo kushinikiza kuondoka Stamford Bridge. Daily Mirror.

https://static.sportskeeda.com/wp-content/uploads/2016/02/aurirer-1455435319-800.jpg
Tottenham na Inter Milan wameingia kwenye vita ya kuwania kumsajili beki wa PSG, Serge Aurier (24) wakiwa na matumaini kuwa bei ya mchezaji huyo itapungua. ESPN.

https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/01/nintchdbpict000291643082.jpg?strip=all&w=960
Beki wa kati wa Southampton, Virgil van Dijk (26) anatarajiwa kukutana na kocha wa timu hiyo, Mauricio Pellegrino kwa ajili ya mazungumzo kuhusu uhamisho. Liverpool watakuwa wakifuatilia kwa karibu mazungumzo hayo ambayo yataamua hatima ya Virgil. Liverpool Echo.

http://i3.mirror.co.uk/incoming/article9921891.ece/ALTERNATES/s615/Manchester-City-vs-Southampton-FA-Youth-Cup.jpg
Kinda wa Manchester City, Jadon Sancho (17) anaweza akaondolewa klabuni hapo, baada ya kushindwa kutokea mazoezini kwa mara kadhaa bila taarifa maalum. Telegraph.
 
https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/06/nintchdbpict000335512889.jpg?strip=all&w=960&quality=100
Inter Milan wanajiandaa kuipiku Arsenal, kwenye usajili wa beki wa timu ya Nice ya Ufaransa, Dalbert (23) kwa ada ya pauni milioni 17 (sh bilioni 49.3). Talksport.

http://e0.365dm.com/16/10/16-9/20/skysports-lucas-perez-arsenal-emirates-stadium_3818682.jpg?20161028111104
Newcastle United wamesema wanahitaji kumsajili mshambuliaji wa Arsena, Lucas Perez (28) lakini hawawezi kufikia bei ya pauni milioni 13.4 (sh bilioni 38.8) inayotakiwa na washika bunduki hao wa London. London Evening Standard.

https://images0.minutemediacdn.com/production/912x516/597c983bab0f2df985000001.jpg
Everton wanajiandaa kutoa dau lao la mwisho la pauni milioni 50 (sh bilioni 145) na beki wao, Callum Connolly (19), kwa ajili ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Swansea City, Gylfi Sigurdsson. Wales Online.

http://www.telegraph.co.uk/content/dam/football/2016/12/02/114975510-carl-jenkinson-sport-xlarge_trans_NvBQzQNjv4Bq_SwnslUQkpHNk4h-1lw-o7zjBrO9aAgpq_EVZvcBYnw.jpg
Timu mbalimbali za Ligi Kuu ya Italia, Cagliari, Sassuolo na Verona zimeonesha nia ya kumsajili beki wa Arsenal, Carl Jenkinson (25). Corriere dello Sport.

No comments

Powered by Blogger.