Header Ads

Wizara ya Afya yatangaza nafasi za kazi 3,152



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSU4lxUKEMM41Vd6LnL-RVAOD7_TmQu098I7sCwVfKyCBa44hVdoEXk8-12PswgD9aZNaiTiWrsZL2XCVDfdA7jGs4l1INJxSJzPhhBTMHEkmiRo8F8iyGye1VH7AKe7V4eatUIptVM5xQ/s1600/ummy-mwalimu-e1459249576445.jpg

Wizara ya Afya imetangaza nafasi 3,152 za ajira katika kada mbalimbali za afya nchini. Tangazo hilo linakuja, baada ya wizara hiyo kupata kibali cha kuajiri kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

https://pbs.twimg.com/media/DFlfuuoW0AAazx4.jpg
https://pbs.twimg.com/media/DFlfuunXgAAMmjS.jpg

No comments

Powered by Blogger.