Header Ads

Rais wa Zambia atangaza hali ya dharura



https://zambiareports.com/wp-content/uploads/2014/11/Edgar-Lungu2.jpg
LUSAKA- RAIS Edgar Lungu ametangaza hali ya dharura nchini, kutokana na moto mkubwa ulioteketeza soko kuu mjini hapa.

Moto huo pamoja na visa vingine kama hivyo, unadhaniwa kuanzishwa kwa maksudi na Rais Lungu (pichani) anasema ni vitendo vya kuhujumu uchumi ili kuifanya Zambia isitawalike vyema.
Hata hivyo, wapinzani wake wanasema Rais Lungu anatumia mikasa hiyo kama kisingizio cha kuendeleza utawala wa kiimla.

No comments

Powered by Blogger.