Header Ads

Ajali ya lori la mizigo yaua watu 80 CAR



Jamhuri ya Afrika ya kati CAR
BANGUI- AJALI ya lori moja la mizigo nchini Jamhuri ya Afrika ya kati (CAR), imesababisha vifo vya zaidi ya watu 80, wengi wakiwa wachuuzi waliokuwa wakielekea sokoni katika mji wa Bambari.

Walioshuhudia tukio hilo, wamesema lori hilo lilikuwa limebeba watu wengi na kujazwa mizigo kupindukia, huku likiendeshwa kwa mwendo wa kasi wakati lilipopinduka.
Maofisa wa usalama barabarani wamelaumiwa kwa kutochukua hatua kuzuia ukiukwaji huo wa sheria za barabarani. 
BBC

No comments

Powered by Blogger.