Header Ads

Ndege ndogo iliyobeba waandishi yaanguka Kenya





KIBERA- Waandishi watatu na rubani mmoja, wamekimbizwa hospitali mjini hapa baada ya ndege ndogo waliyokuwa wakitumia kusafiri kwenda Baringo kuanguka ghafla.
Ndege hiyo aina ya Cesna 206 yenye uwezo wa kubeba watu 6, ilianguka ilipokuwa ikielekea Kabarak ambako ndiko Muungano wa Upinzani nchini (NASA) ulikuwa ukifanya mkutano.

No comments

Powered by Blogger.