Kuwaona Mayweather na McGregor ni milioni 330
Pambano
hilo ambalo linatajwa kuwa ghali kwa gharama zaidi kuwahi kutokea, lakini hilo
halijawazuia wapenda masumbwi kununua tiketi kwani kwa sasa zinanunulika kama
njugu.
Mabondia
hao wamekuwa wakitambiana, wanataraji kuzicha mnamo Agosti 26, mwaka huu katika
uwanja wa T-Mobile wenye uwezo wa kuingiza watazamaji 20,000 mjini hapa.
Mayweather
mwenye miaka 40, awali alistaafu lakini aliamua kurejea ulingoni tena ili
kumnyamazisha McGregor ambaye ni bingwa wa ngumi za vizimba.
BBC.
No comments