Header Ads

Jioni Njema; Man United haina mpango na Bakayoko # Rooney apewa jezi no. 10 # Hakuna dili lolote la Chamberlain # West Ham wajiondoa kwa Hart



https://i1.wp.com/www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/03/sport-preview-tiemoue-bakayoko-to-chelsea1.jpg?crop=0px%2C0px%2C1500px%2C1000px&resize=1200%2C800&ssl=1


LONDON- MANCHESTER United, imesema kwamba hawana mpango wa kumsajili windo la Chelsea, Tiemoue Bakayoko kwa ajili ya matumizi ya msimu ujao.
Licha ya awali kudaiwa kutaka kumsajili, klabu hiyo imekanusha na kudai kuwa haina pango huo. hayo yanasababisha mpango wa Chelsea wa kumsajili kiungo huyo, kupata nguvu zaidi na kuwa mchezaji wa tatu baada ya Willy Caballero na Antonio Rudiger. 
http://e0.365dm.com/17/07/16-9/20/skysports-wayne-rooney-everton_3994411.jpg?20170706131639
Mshambuliaji mpya wa Everton, Wayne Rooney amepewa jezi namba 10, huku mchezaji mwingine mpya, Sandro Ramirez akipewa jezi namba 9 na namba 1 ikienda kwa mlinda mlango mpya, Jordan Pickford. 
http://images.performgroup.com/di/library/GOAL_INTERNATIONAL/cc/7c/alex-oxlade-chamberlain-champions-league-team-of-the-week_otycn6tg24am1t49i305g66iv.jpg?t=-550832025&w=620&h=430
Arsenal imesema kuwa hakuna dili lolote ambalo limekubaliwa na timu hiyo, kutoka timu yoyote kwa ajili ya kumsajili winga wao, Alex Oxlade-Chamberlain.
http://i.huffpost.com/gen/1697412/images/o-JOE-HART-facebook.jpg
West Ham United imesema kuwa haina tena mpango wa kumsajili kipa wa Man City, Joe Hart, baada ya timu hiyo kukataa mpango wa Hammers wa kumchukua kwa mkopo wenye kipengele cha kumsajili baada ya mkopo kuisha.
https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/03/nintchdbpict000298533592.jpg?strip=all&w=960&quality=100
Wagonga Nyundo wa London, West Ham, wamesema kinda wao hatari wa Georgia, Domingos Quina ananyatiwa na timu kadhaa ikiwemo Arsenal.
https://img.fcbayern.com/image/fetch/f_auto,h_768,q_auto:good,w_1366/https://fcbayern.com/binaries/content/gallery/fc-bayern/media/images/homepage/offizielle/rummenigge/rummeniggeportrait_2015_16.jpg/rummeniggeportrait_2015_16.jpg/fcbhippo%253Axtralargesixteentonine%3Fv%3D1457866121782
Mwenyekiti wa klabu ya Bayern Munich, Karl-Heinze Rummenigge amesema kuwa amefurahishwa na ujio wa James Rodriguez, kutoka Real Madrid ya Hispania.
“Kama timu, tumefurahishwa zaidi na ujio wake na kufanikisha usajili huo. kumsainisha Rodriguez ilikuwa ni hitaji kubwa ambapo alitaka kuungana naye tena baada ya kufanya naye kazi Madrid,” alisema Rummenigge.
https://cdn.ligainsider.de/images/player/team/big/kurt-zouma.png
Klabu ya Valencia ya Hispania, imesema kuwa imemfungia kazi kiungo wa Chelsea, Kurt Zouma na inatarajia kufanikisha dili hilo muda wowote na kuipata huduma yake kwa ajili ya msimu ujao wa La Liga.

Habari zote na Sky Sports.

No comments

Powered by Blogger.