DC Kinondoni aagiza Halima Mdee akamatwe
DAR ES SALAAM- MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ally
Hapi ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumuweka
ndani kwa saa 48, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa madai ya kutoa kauli za uchochezi.
Halima Mdee anadaiwa kutoa kauli zinazaodaiwa za kichochezi
wakati akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Makao Makuu ya CHADEMA, DSM.
Millard Ayo
No comments