Header Ads

China kufanya majaribio ya 5G mwaka huu



Image result for 5G pilot project in China
BEIJING- KAMPUNI kubwa za simu nchini, zinatarajiwa kuongoza mpango wa usimikaji na uwezeshaji wa teknolojia ya kasi zaidi ya 5G kwa majaribio, kwenye miji kadhaa katika kipindi cha nusu ya pili ya mwaka huu.

Miji hiyo inayotarajiwa kuwepo kwenye orodha hiyo ya kupata huduma hiyo ya intanet yenye kasi zaidi ni, Beijing, Shanghai, Chongquing, Guangzhou, Nanjing, Suzhou na Ningbo.
Kampuni hizo zinazotarajiwa kusimika na kusimamia matumizi ya 5G ni, China Mobile, China Unicom na China Telecom.

No comments

Powered by Blogger.