Header Ads

Bunge lapokea barua ya Lipumba kuwafuta uanachama wabunge nane wa CUF



DODOMA- BUNGE la Tanzania limepokea barua iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibarihimu Lipumba ambapo ameainisha kuwafuta uanachama wabunge nane wa viti maalum na madiwani wawili.
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema jukumu la kuwaondoa uanachama wabunge ni utashi wa chama husika hivyo bado anaendelea kutafakari kuhusu suala hilo na atalitolea uamuzi hivi karibuni.
Chanzo; Ukurasa wa Twitter wa Bunge 
https://pbs.twimg.com/media/DFkm8CUXUAAnzlc.jpg


 
https://pbs.twimg.com/media/DFkm9fZXYAAfyoT.jpg 
https://pbs.twimg.com/media/DFkm-PjXYAAh3OP.jpg



No comments

Powered by Blogger.