Header Ads

Asubuhi Yetu; Neymar kutua PSG wiki 2 zijazo # Coutinho amba kuondoka # Bale kumpisha Mbappe Madrid # Conte amtamani Kane



http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2017/01/06/15/3BE0F2C800000578-4094918-image-m-81_1483716865170.jpg

PARIS- TIMU ya Paris St-Germain (PSG) inaamini kuwa itakamilisha dili la uhamisho wa mshambuliaji wa Barcelona, Neymar (25), lenye thamani ya pauni milioni 198 (sh bilioni 525.5) ndani ya siku 15. L’Equipe.
https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/03/nintchdbpict0003084076711.jpg?strip=all&w=960&quality=100
Kiungo mahiri wa klabu ya Liverpool, Philippe Coutinho (25), ameuomba uongozi wa timu hiyo umruhusu kujiunga na Barcelona. Inadaiwa tayari mchezaji huyo amekubaliana maslahi binafsi na Barcelona ili akazibe pengo la Neymar anayeenda PSG. RAC1.
http://e1.365dm.com/16/09/16-9/20/bale-gareth-real-madrid_3792926.jpg?20160924105349
Mshambuliaji wa Real Madrid na Wales, Gareth Bale (28) anatarajiwa kuondoka klabuni hapo ili kupisha ujio wa kinda wa Monaco, Kylian Mbappe (18). Bale anaweza kujiunga na Man United muda wowote akiondoka Madrid, baada ya kukataa ofay a Arsenal. Independent.
http://whiteheartlane.com/wp-content/uploads/2017/03/harry-kane.jpeg

Kocha wa Chelsea, Antonio Conte amesema endapo atahitaji kusajili mshambuliaji, basi hatasita kumsajili mfungaji bora wa msimu uliopita wa EPL, Harry Kane (23). Daily Mail.
http://a.espncdn.com/combiner/i/?img=/photo/2017/0628/r225222_1296x729_16-9.jpg&w=738&site=espnfc

Arsenal wako mbioni kukamilisha usajili wa winga Thomas Lemar (21) kutoka Monaco, licha ya Makamu wa Rais wa Monaco, Vadim Vasilyev kudai mchezaji huyo hauzwi. Arsenal wametoa pauni milioni 45 (sh bilioni 130.5). Sun.
http://www.stretford-end.com/wp-content/uploads/2017/06/matic.jpg
Man United wanatarajia kuwa, ofa yao ya pauni milioni 40 (sh bilioni 126) itawashawishi Chelsea kuwauzia kiungo wao, Nemanja Matic (28) ambaye hana nafasi klabuni hapo. Independent.
https://ichef.bbci.co.uk/images/ic/720x405/p04p6h76.jpg
Klabu ya Chelsea, inataka kukopa pauni milioni 500 (sh trilioni 1.45) kwa ajili ya kujenga uwanja wao mpya ili kuepuka kutegemea fedha za bosi wao, Roman Abramovich. Times. 
http://cdn.empireofthekop.com/wp-content/uploads/2015/10/Mamadou-Sakho-Liverpool-1.jpg?w=640
Beki wa kati wa Liverpool na Ufaransa, Mamadou Sakho (30) hajajumuishwa kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo inayokwenda kwenye ziara nchini Ujerumani. Liverpool Echo.
http://www.mundodeportivo.com/r/GODO/MD/p4/Futbol/Imagenes/2017/06/19/Recortada/img_rruano_20170609-140551_imagenes_md_getty_gettyimages-636491982_master-krjH-U423502706484tJD-980x554@MundoDeportivo-Web.jpg
Kiungo wa Borussia Dortmund, Mikel Merino (21) yuko karibu kukamilisha dili lake la uhamisho kuelekea Newcastle United ya Uingereza. Evening Chronicle.
http://hotsport.rs/wp-content/uploads/2015/04/fejsa_benfica.jpg
Tottenham inamfukuzia kiungo wa Benfica ya Ureno, Ljubomir Fejsa (28), ili kuimarisha eneo la kati la timu hiyo. Sun.


No comments

Powered by Blogger.