Header Ads

Asubuhi Yetu; Neymar kusaini miaka 5 PSG # Barcelona ni aidha Coutinho au Hazard # Liverpool yamsusa Keita



https://www.thesun.co.uk/wp-content/uploads/2017/07/nintchdbpict000327391444.jpg?strip=all&w=960&quality=100

PARIS- MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Neymar (25) amekubali kusaini mkataba wa miaka mitano na klabu ya PSG na anatarajiwa kujiunga na klabu hiyo wiki ijayo. RMC.

http://www.futaa.com/images/full/e-hazard-2.jpg
Barcelona imesema iwapo Neymar ataondoka wiki ijayo, basi italazimika kusajili aidha, Philippe Coutinho wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelsea ama Dele Alli wa Tottenham Hotspurs. Hata hivyo, Barcelona wanahofia kuwa Liverpool itawatajia bei kubwa kwa Coutinho. Mirror.

https://www.thisisanfield.com/wp-content/uploads/PA-29223818-600x339.jpg
Liverpool imeachana na kwa kiungo wa RB Leipzig, Naby Keita (22), baada ya kuona timu hiyo ya Ujerumani haiku tayari kumuachia mchezaji huyo. Hata hivyo, wamesema watajaribu kumsajili mwakani wakati thamani yake ikiwa pauni milioni 48 (sh bilioni 139). Liverpool Echo. 
  
http://cdn.images.express.co.uk/img/dynamic/galleries/x701/221754.jpg
Manchester City wamesema watamlipa pauni milioni 320,000 wa wiki, Alexis Sanchez (28), iwapo mchezaji huyo atajiunga nao msimu huu. Mchile mwenzake, Claudio Bravo amesema Sanchez atapokelewa kwa mikono miwili Etihad. Mail.
 
https://metrouk2.files.wordpress.com/2017/01/630734652.jpg?w=620&h=408&crop=1
Manchester United wameanza mazungumzo yenye lengo la kumsainisha mkataba mpya kiungo wao Ander Herrera (27), ili kuzuia dili lolote kutoka Barcelona ambao wamekuwa wakimhitaji. Express.

http://1gr.cz/fotky/idnes/17/011/cl6/TOF688420_profimedia_0310252774.jpg
Kwa mujibu wa wakala wa kiungo wa Udinese ya Italia, Jakub Jankto (21), Arsenal wameonesha kuvutiwa na dili la kumsaini kiungo huyo. Sportitalia.

https://metrouk2.files.wordpress.com/2017/07/663328494.jpg?w=748&h=471&crop=1
Monaco bado wanasema hawatamuuza winga wao, Thomas Lemar (21) licha ya Arsenal kuwasilisha ofa yao kwa mara ya tatu yenye thamani ya pauni milioni 45 (sh bilioni 130.5). Telegraph.

http://ste.india.com/sites/default/files/2015/10/29/427353-angel-di-maria-psg-clb-700.jpg
PSG imesema itamtoa winga wake mahiri, Angel di Maria (29) kwa Barcelona ili kupunguza nyongeza zozote zinazotarajiwa kuongezeka kwenye dili la uhamisho wa Neymar wenye thamani ya pauni milioni 197 (sh bilioni 525.5) AS.

http://www.telegraph.co.uk/content/dam/football/2016/11/21/JS114117564_Virgil_van_Dijk-SPORT-xlarge_trans_NvBQzQNjv4BqJoJJwbSFFB6FIbXJ7mwEDIFaXXPmLfIVzWd62_SgK_w.jpg
Southampton wanahitaji kuendelea kuwa na beki wao, Virgil van Dijk (26) na wamemuahidi kuwa kwenye kikosi cha kwanza licha ya Mdachi huyo kuachwa na timu hiyo iliyopo ziarani Ufaransa wiki hii. Telegraph.

https://metrouk2.files.wordpress.com/2017/05/679707230.jpg?w=748&h=552&crop=1
West Ham wamesema watakataa ofa yoyote kutoka Liverpool, yenye nia ya kuwashawishi kuwauzia kiungo Manuel Lanzini (24). Evening Standard.

https://metrouk2.files.wordpress.com/2017/07/gabriel1.jpg
Kinda wa Brazil, Gabriel Martinelli (16) yuko kwenye majaribio Manchester United wakati akitaraji kukamilisha dili la uhamisho kutoka klabu yake ya Ituano. Manchester Evening News.

No comments

Powered by Blogger.