Shambulizi la Manchester lilipangwa tangu Desemba mwaka jana
Wanasema
kuwa mshambuliaji Salman Abedi, alikua akifuatiliwa nyendo zake na wanausalama
wa Libya kabla ya kusafiri kuelekea Uingereza kufanya shambulizi hilo.
Mmoja
wa kaka yake (Hashem) na baba yake (Ramadan), pia walikuwa wakifuatiliwa na kwa
sasa wanashikiliwa na polisi. Haijawekwa wazi iwapo maofisa wa Libya walitoa
taarifa kwa wale wa Uingereza.
No comments