Header Ads

IGP Sirro atembelea na kuzungumza na wanakijiji wa Mangwi, Kibiti



KIBITI- Siku moja baada ya kuripotiwa mauaji ya Mwenyekiti wa Kitongoji na Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Mangwi kilichopo Kata ya Mchukwi wilayani Kibiti katika Mkoa wa Pwani, IGP Simon Sirro ametembelea kijijini hapo kutoa pole kwa wafiwa.

tmp_18297-1131417934212.png

IGP Sirro akisalimiana na wakazi wa kijiji hicho mara baada ya kuwasili kijijini hapo.

 
Aidha, IGP Sirro amewataka wananchi kijijini hapo kutowafumbia macho wahalifu wanaotenda mauaji hayo akiwataka kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za wahalifu hao.
IGP Simon Sirro akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Mangwi, Kata ya Mchukwi alipokwenda kuwapa pole baada ya kutokea mauaji Mwenyekiti wa Kitongoji na Afisa Mtendaji wa Kijiji.

tmp_18297-351686237284.png

IGP Sirro akitoa rambirambi ya msiba kwa wananchi wa kijiji hicho alipowatembelea baada ya mauaji ya Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho.

tmp_18297-25-406917702.png




IGP Sirro akizungumza na wakazi wa kijiji hicho mara baada ya kuwasili kijijini hapo.
Chanzo; Jamii Forum

No comments

Powered by Blogger.