Header Ads

Kila la kheri Nelson Issangya siku ya kesho





Siku ya kesho Jumamosi May 27, 2017, Mtanzania mwenzetu aishiye Marekani, Nelson Issangya atapanda jukwaani kushiriki shindano la kutunisha misuli la NPC Cascadian Classic litakalofanyika katika mji wa Oregon.
Macho, masikio na maombi yetu ni kwake ilia pate kuibuka mshindi wa shindano hilo na kuzidi kulipeperusha vema jina la Tanzania.

No comments

Powered by Blogger.