Header Ads

Mahakama Kuu yatengua hukumu ya Lijualikali


MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya Kilombero dhidi ya Mbunge Peter Lijualikali hivyo katika kesi ya msingi Lijualikali amekutwa hana Hatia.


PETER (1).jpg


Mbunge Lijualikali alihukumiwa kwenda Jela Miezi Sita(6) bila faini na Mahakama ya Kilombero. Alikuwa akikabiliwa na Kesi ya kufanya vurugu wakati wa Uchaguzi 2015.
Chanzo: Jamii Forums

No comments

Powered by Blogger.