Yaliyojiri Bungeni Dodoma leo
Jumatatu hii, katika
kikao cha 58, mkutano wa 7 Bunge la 11 mjini Dodoma, wabunge mbalimbali
waliuliza maswali na kujibiwa na Serikali
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dk Tulia Ackson akiongoza kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la
11 leo.
Waziri wa
Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi akisoma maelezo kuhusu muswada wa
Sheria ya Mamlaka ya Nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa mwaka 2017
katika kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Naibu Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Selemani Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge
katika kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Naibu Waziri wa
Nishati na Madini, Dk Medard Kalemani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge
katika kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Naibu Waziri wa Maji
na Umwagiliaji, Isack Kamwelwe akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika
kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Naibu Waziri wa
Maliasili na Utalii, Ramo Makani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika
kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Naibu Waziri wa Fedha
na Mipango, Dk Ashatu Kijaji akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika
kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta jambo na Waziri wa Fedha
na Mipango, Dk Philip Mpango katika kikao cha 58 cha Mkutano wa 7 wa Bunge la
11 leo.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kuteuliwa, Salma Kikwete katika kikao cha 58
cha Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akiteta jambo na Mbunge wa Vunjo, James Mbatia katika kikao cha 58 cha
Mkutano wa 7 wa Bunge la 11 leo.
PICHA ZOTE
NA MAELEZO, DODOMA
No comments