Header Ads

Shambulio la msikitini lajeruhi watu 8 Ufaransa



A police officer stands guard on a street near the scene of a shooting in front of a mosque, 2 July 2017
PARIS- WATU 8 wamejeruhiwa wakati wa ufyataajia risasi nje ya mskikiti uliopo Kusini mwa nchi.

Waumini waliokuwa wakiondoka kwenye msikiti wa Al Rahma, walikaribiwa na washukiwa wawili waliokuwa na bunduki ambao waliwashambulia kwa risasi. Polisi wanasema kuwa hawachukulii kisa hicho kuwa cha kigaidi.
Watu wanne walijeruhiwa nje ya msikiti huo, huku wanne wakiwa wa familia moja akiwemo msichana wa miaka 7. Wawili kati ya watu 8 waliojeruhiwa walilazwa hospitalini.
Mashuhuda wanasema kuwa, watu kadhaa wa karibu na msikiti walianza kukimbia wakati walipowaona washukiwa wawili wakiteremka kwenye magari yao na kuwakaribia wakiwa na bunduki mikononi.
Kisa cha Avigno hakichukuliwi kama cha kigaidi, ofisi mkuu wa mshataka ilisema. Kwa sasa idara ya ujasusi inakifuatilia kisa hicho.


No comments

Powered by Blogger.