Header Ads

Raila awaambia Wakikuyu hawezi akawa adui yao



KIAMBU- MGOMBEA wa Urais kupitia Muungano wa Vyama vya pinzani nchini (NASA), Raila Odinga amesema kuwa yeye hawezi akawa adui wa Wakikuyu.
Odinga alisema hayo wakati akizungumza na wakazi wa Kiambu ambao walijitokeza kumlaki, mara baada ya kuwasili hapo na kuzungumza nao katika mchakato wa kusaka kura zao.

No comments

Powered by Blogger.