Header Ads

Malinzi na mwenzake warudishwa rumande kwa kukosa dhamana




DAR ES SALAAM- RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, Katibu Mkuu wa TFF, Celestine Mwesigwa na Mhasibu wa TFF, N Mwanga kwa pamoja wamekosa dhamana na kurudishwa rumande hadi pale kesi yao itakapotajwa tena Julai 17 mwaka huu.

Hayo yamejiri leo katika Mahakama ya Kisutu jijini hapa, baada ya kesi yao kutajwa baada ya hapo awali kunyimwa dhamana kutokana na kesi 28 ambazo 25 zinamkabili Malinzi peke yake na 3 zinawakabili wote kwa pamoja.
Kesi yao itatajwa tena Julai 17, mwaka huu.


No comments

Powered by Blogger.