Header Ads

Lukaku asajiliwa Man United kwa pauni milioni 75



https://static.independent.co.uk/s3fs-public/thumbnails/image/2017/02/10/15/romelu-lukaku.jpg
LIVERPOOL- Manchester United imekubaliana na Everton dau la pauni milioni 75 (sh bilioni 217.5) kama ada ya uhamisho ya mshambuliaji Romelu Lukaku ambaye kwa msimu uliopita alifunga magoli 25.

Hayo yanajiri muda mfupi, baada ya klabu hiyo ya Manchester kutangaza kuwa iko tayari kuingilia kati usajili huo. Usajili huo huenda ukaathiri kwa kiasi kikubwa usajili mwingine wa staa wa Real Madrid, Alvaro Morata.
United inatarajiwa kukamilisha kila kitu kabla ya kuanza ziara yao ya Marekani, mapema wiki ijayo.
BBC Sport

No comments

Powered by Blogger.