Bayern
Munich wametangaza rasmi kuwa wamemsajili mchezaji wa Real Madrid na Colombia,
James Rodriguez kwa mkopo wa miaka miwili.
Usajili huo
unatarajiwa kudumu hadi hapo 2019 huku kukiwa na kipengele kinachoiwezesha Bayern
kumsajili mchezaji huyo moja kwa moja. Sky Sports
No comments