Header Ads

Begi lazua kizaa zaa uwanja wa ndege wa Manchester



https://pbs.twimg.com/media/DD9jB20XgAESh45.jpg:large
MANCHESTER- Polisi wa Kitengo Maalum cha uteguaji mabomu mjini hapa, wameitwa katika Uwanja wa Ndege wa Manchester Terminal III, kwa ajili ya kukagua begi ambalo limetiliwa shaka kuwa huenda likawa na vilipuzi.

Begi hilo lililoonekana uwanjani hapo majira ya saa 8:50 asubuhi (kwa saa za Uingereza), lilisababisha abiria kuondolewa uwanjani hapo na kuelekezwa kutumia Terminal I na II hadi hapo watakapoarifiwa tena.
RT

No comments

Powered by Blogger.