WASHINGTON
DC-
IKULU ya Marekani (White House), imethibitisha kuwa Rais Donald Trump atakutana
na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin wiki ijayo, ikiwa ni maandalizi ya mkutano
wa nchi 20 zilizoendelea zaidi kiuchumi duniani (G20).
Utakuwa
mkutano wa kwanza wa ana kwa ana baina ya viongozi hawa wawili. Mshauri wa
masuala ya ulinzi wa Marekani, H.R. MacMaster amesema bado hakuna mada maalumu
iliyopendekezwa.
Mapema
msemaji wa ikulu ya Kremlin alithibitisha uwepo wa mkutano huo.
BBC
No comments