Israel yaishambulia Syria
Katika
kisa hicho cha jana, vikosi vya Israel vilifanya mashambulizi ya kulipiza
kisasi dhidi ya eneo lao.
Israel
imetekeleza mashambulizi kadhaa ya angani mara kwa mara au kujibu mashambulizi
wakati wa mzozo wa Syria, lakini imejitenga kuhusika moja kwa moja na mzozo
huo.
Israel
iliuteka mji wa Golan kutoka mikononi mwa Syria wakati wa mapigano ya mwaka
1967.
No comments