Chanjo isiyo salama yaua watoto 15 Sudan Kusini
Wafanyakazi
wa afya katika jimbo la Ikweta Mashariki, walirudia tena kutumia sindano zisizo
safi kuwachanja watoto wote.
Waziri
wa Afya nchini, Riek Gai Kok alisema timu iliyohusika katika kampeni hiyo ya
chanjo haikuwa na vigezo wala kupata mafunzo kwa kazi hiyo.
Huduma
za afya zimekuwa zikifanya kazi kwa shida nchini, tangu kuanza kwa vita vya
wenyewe kwa wenyewe kuanza mwaka 2013.
No comments