Header Ads

Messi kufungwa miezi 21 jela kwa ukwekapaji kodi



Messi analipwa Euro milioni 40 kwa mwaka

MADRID, Hispania
Mahakama Kuu nchini, imethibitisha adhabu ya kifungo cha miezi 21 jela na faini ya dola za Marekani milioni 2.2 (sh bilioni 4.8) dhidi ya Lionel Messi kwa kosa la kukwepa kodi, ikiwa ni miezi kadhaa baada ya nyota huyo wa soka kukata rufaa.

Messi (pichani) alihukumiwa Julai 2016, lakini huenda hukumu hiyo ikaahirishwa kwani kwa hapa nchini ni kawaida kwa makosa ya kwanza ambayo si jinai kuwa na hukumu ya chini ya miaka miwili.
BBC

No comments

Powered by Blogger.