Header Ads

Wawakilishi wa Uingereza wakifika Makao Makuu ya EU nchini Ubelgiji, kwa ajili ya kuwasilisha barua ya kujitoa

Picha za gari la Kiongozi wa Wawakilishi wa Uingereza waliokwenda makao makuu ya Umoja wa Ulaya (EU) mjini Brussels Ubelgiji, Sir Tim likiwasili katika viwanja vya jengo la EU kuwasilisha rasmi barua ya taifa hilo kujitoa kwenye umoja huo. Wametumia kifungu cha sheria namba 50 kujitoa baada ya kuidhinishwa na Bunge la Uingereza hivi karibuni
 

No comments

Powered by Blogger.