Header Ads

Picha za tukio zima la Nape Nnauye kuzuiwa kuzungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Protea


 
Mfanyakazi wa hoteli ya Protea, Suleiman Kapase akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangaza kuwa mkutano wa Nape Nauye na waandishi hautokuwepo hotelini hapo na kuwataka waandishi kusambaa.
 





Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya hoteli ya Protea mara baada ya kuwasili hotilini hapo na kuzuiwa kuingia katika hoteli hiyo kwa ajili ya kuzungumza na wanahabari.




Gari la Nape Nnauye likiwa limezuiliwa na gari la Kamanda wa Polisi Kinondoni, Suzan Kaganda baada ya mbunge huyo kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari nje ya hoteli ya Protea.




Nape Nnauye akizungumza na kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni (yupo garini) baada kamanda huyo kufika katika mkutano huo kwa ajili ya kuzui Nape asizungumze na wanahabari. Picha zote na Suleiman Salum

No comments

Powered by Blogger.