Header Ads

Mugabe amzawadia shemejiye zawadi ya dola 60,000



http://atlantablackstar.com/wp-content/uploads/2014/02/mugabe.jpg
HARARE- RAIS Robert Mugabe amempa shemeji yake zawadi ya dola 60,000 (sh milioni 132) wakati wa siku yake ya kuzaliwa, kwa mujibu wa gazeti la serikali la Herald.
Alisema kuwa, zawadi hiyo ni ya kumshukuru shemejiye huyo, Junior Gumbochuma ambaye ni dada mkubwa wa mke wake, Grace Mugabe, kwa kusaidia kuwalea watoto wa kiongozi huyo mkongwe.
Kupitia zawadi hiyo kwa Gumbochumba ambaye ni mhubiri, Rais Mugabe alitumia fursa hiyo kuwakosoa wahubiri wengine wa Pentecostal ambao hupata fedha kutoka kwa waumini kwa kubuni miujiza ya uwongo.
BBC

No comments

Powered by Blogger.