Nipo tayari kujitoa mazungumzo ya Brexit - May
Alisema
hayo wakati alipokuwa akifanya mahojiano maalum, ambayo yalirushwa moja kwa
moja kupitia televisheni ya Sky News, na Channel Four.
May
alisisitiza kuwa watakuwa pale kujadiliana makubaliano mazuri, na kusema kuwa
ni bora kutokuwa na makubaliano, kuliko kuwa na makubaliano mabaya.
Katika
mahojiano hayo, Jeremy Corbyn alikabiliwa na maswali magumu kuhusiana na uhusiano
wake wa zamani na makundi ya wapiganaji ya Ireland na mashariki ya kati. Alikosolewa
pia kutokana na kuhudhuria tukio la wanachama wa IRA mwaka 1987
Uingereza
inatakiwa kujitoa kutoka EU ndani ya miaka miwili kwa mujibu wa utaratibu.
No comments