Header Ads

Mawe yaanguka barabarani na kufunga barabara ya Mombo-Lushoto



Mawe yameanguka huko Lushoto eneo la barabara ya Vugha.  Yamedondokea magari majeruhi wamekimbizwa Hospital.

67767e63-1492-484a-b5c9-c8b05f3ebefa.jpg

 18342821_1466587760078238_1231905670910382238_n.jpg


 18341729_1466587670078247_4311154748130055471_n.jpg


Hali ilivyo katika barabara ya Mombo-Lushoto
 

 18423772_1466587543411593_7876773218287867991_n.jpg
 f2bbba03-8b64-4f3e-a21d-7a8b970d7eb7.jpg


Watu wamekwama barabara ya Mombo-Lushoto haipitiki tena magari manne yamefukiwa na vifusi vya matope na mawe mpaka sasa majeruhi wanapitishwa hapa kuelekea hospitali

18342772_1904684396477574_4013816506988008693_n.jpg


Jamani Wakazi wa Soni- Lushoto, kuna mafuriko mvua inavyoendelea kunyesha wapo hatari kwa mafuriko. Hali mbaya sana na usafiri umegoma tena. huko chini Vuga load, mawe yameshuka tena. Wakazi wa wilaya ya Lushoto tuko katika kipindi kigumu sana Mungu atupe wepesi mvua itulie maana hali ni mbaya zaidi.

18341868_291682764618461_6972591749673405801_n.jpg


Hali ilivyo kwa sasa. Barabara hazipitiki kutokana na mawe na mafuriko kufunga barabara ya Lushoto-Mombo

18341869_1323565307729494_1452276940882002231_n.jpg


18342475_1323565354396156_3362453266410217559_n.jpg

18341681_1323565217729503_8521125288381312785_n (1).jpg

18446652_1293544034092214_4942391238709081521_n.jpg


Greda likijitahidi kuondoa tope lililojaa barabarani
 


18402665_1972632706340666_8459691248040867892_n.jpg

No comments

Powered by Blogger.