Header Ads

JPM na mkewe wawatembelea wagonjwa Muhimbili


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli akiwa pamoja na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Mzee Francis Maige Kanyasu (Ngosha) aliyelazwa Wodi ya Mwaisela katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya Matibabu. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Lawrence Museru pamoja na Dk Juma Mfinanga, Daktari Bingwa wa magonjwa ya Dharura na Ajali katika hospitali hiyo. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli akizungumza na Mzee Francis Maige Kanyasu (Ngosha) aliyelazwa Wodi ya Mwaisela katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya Matibabu 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali mtoto Shukuru Kisonga aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mtoto Shukuru alikuwa akidaiwa kuishi kwa kula sukari, maziwa na mafuta ya kula lakini hali yake imeimarika zaidi na kuanza kula vyakula vya kawaida. Katikakati ni mama yake Shukuru, Mwanahabibi Mohamed Mtei. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli akiwa pamoja na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wakimtakia heri mtoto Shukuru Kisonga aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili pamoja na Mama yake Mwanahabibi Mohamed Mtei. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli akiwajulia hali wagonjwa wengine waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli akiwajulia hali wagonjwa wengine waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi wa Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli akiwajulia hali wagonjwa wengine waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

No comments

Powered by Blogger.