Header Ads

JK akutana na Samatta



‘Nikiwa hapa Brussels kuhudhuria Mkutano wa Wadau wa Libya nimepata fursa ya kukutana na mwanasoka na kipenzi chetu @samatta77 leo hii’…..Ni maneno ya Jakaya Kikwete jana alipokutana na mwanasoka wa Tanzania, Mbwana Samatta.

https://pbs.twimg.com/media/DAh24yHXoAUoriT.jpg

No comments

Powered by Blogger.